NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA (NA PRE-FORM ONE) MWAKA WA MASOMO 2027/28 Parokia ya Kisa Jimbo la Mbeya tunapenda kuwatangazia fomu za maombi ya kujiunga na Shule ya Sekondari ya St. Joseph Allamano kwa mwaka wa masomo …